Nyangumi mweupe aina ya beluga aitwaye "Hvaldimir," aliyeonekana kwa mara ya kwanza nchini Norway karibu na maji ya Urusi akiwa na kamba ambayo ilizua uvumi kuwa huenda ni jasusi wa Moscow, amepatikana akiwa amefariki dunia.
Shirika la utangazaji la umma la Norway NRK liliripoti kwamba mzoga wa nyangumi huyo ulipatikana ukielea kwenye Ghuba ya Risavika kusini mwa Norway Jumamosi na baba na mwanawe waliokuwa wakivua samaki.
Shirika la utangazaji la umma la Norway NRK liliripoti kwamba mzoga wa nyangumi huyo ulipatikana ukielea kwenye Ghuba ya Risavika kusini mwa Norway Jumamosi na baba na mwanawe waliokuwa wakivua samaki.
- Category
- NORWEGIAN NEWS
- Tags
- Mwananchi, Thecitizen, Mwanaspoti
Commenting disabled.